Dawa ya mke wako akiwa na hasira

LD hata mie sijaelewa hii thread imenishangaza ngoja nikalale na izi stress za maisha ziende mapumziko kidogo DAH KUMBE DAWA YETU NI HII
 
Napenda sana kusoma vipande vyako Lizzy huwa unatulia nakutafakari ndo unajibu hata ukijibu kwaukali lakini huwa ni kisu. hata mimi nilifkiri inawezekana kweli maana hiyo ni nusu fumanizi halafu jamaa anatufix kalamzigo, wee acha wewee basi mkeo kachanjiwa ya fisi maji ukimgusa tu unakula.
Naogopa kutoa mchango wangu!Nwy hongera kwakupata jinsi ya kutuliza hasira za mkeo...ila kwa mtu anaehisi amecheat na bado akakubali?Hongera sana!
 

Asante sana mpendwa!Hahaha yani nimejaribu kujiweka kwenye position ya huyo mwanamama ikashindikana kabisa!
 
kichwangumu umeuwasha moto,wabeijing watakuandama hapa,hujamtendea haki my wyf wako

Unafikiri hata ana mke basi, aakha...watoto wa sekondari skuli hawa wanakuja na habari zao wanazopeana vijiweni wanajua hapa JF kuna wazima kwa hiyo ana posti ili aone wakubwa watachangiaje na yeye apate cha kuongea huko kijiweni kwao!
 

asante mkuu, duuu
 
Nimewahi kushuhudia polisi akimshauri mtuhumiwa atumie mbinu hii ili kuepuka kesi ya shambulizi dhidi ya mkewe. Mtuhumiwa kweli alifanikiwa na kufutiwa shitaka, ila sijajua kama mbinu hii ina apply kwa kila mwanamke.
 

Mkuu nakubaliana na matokeo ya research yako..... labda tu kuongezea kwenye writeup yako na kujaribu kuelezea kisayansi zaidi ni kwamba wakati na baada ya gemu (hasa kama wote mta maliza) mwili wa binadamu huwa unatoa chemical moja inaitwa "oxytocin".....na kwa kifupi hii chemical inafanya kama hivo .......

(Source Wikipedia)
........Oxytocin evokes feelings of contentment, reductions in anxiety, and feelings of calmness and security around the mate.[18] Many studies have already shown a correlation of oxytocin with human bonding, increases in trust, and decreases in fear. One study confirmed that there was a positive correlation between oxytocin plasma levels and an anxiety scale measuring the adult romantic attachment.[19] This suggests that oxytocin may be important for the inhibition of brain regions that are associated with behavioral control, fear, and anxiety,......
 
LD umeonaa eeehhhhh!!!!!!!!!!!
 
Unafikiri kesi imeisha kwa hivyo tu? Subiri siku ingine utaniambia. Hiyo imewekwa kwenye faili vizuuuuriiii, itafumuliwa huko wakati wowote tena itaongezea uzito tu kwenye zengwe lako lingine. We haya weeee!
 

Somo kuu hapa nikusema unapomkosea mkeo husiwe mkali na kuanza kupigana ndani ya nyumba badala yake we kuwa tu mpole, wakati yeye kakasilika. Ukipata mwanya anza kumbembeleza na ukifanikiwa kumtuliza hadi kumbwaga chini kwa ajili ya majamboozi hapo umefuta kesi!
 

ha ha ha ha!
Hujatulia wewe.
Nikiwa na mihasira nyege zote kwishne.
 
mh nyie ndo wale wanaume mnahitaji kitchen party nini kuanika mambo ya chumbani na mkeo humu heeeeeeeeeeee na baada ake ilikuwaje hujamalizia story,
huo ndo unafki wenyewe yani umemponda kwa kuanika mambo ya chumbani humu then untaka aendelee kusimulia ilikau hebu acha ushankupe we bibi
u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…