Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

Usijitie umesoma sana? wala mkojo hauwezi kuwa projected! hiyo Advanced physics ulio-kalili isikufanye udharau kila mtu humu tena subtopic inakufanya uropoke mengi humu! be smart unapoongea na mtu usiyemfahamu!!!!!!
Wasoma sayansi ni mabingwa wa kukarili,hawana lolote zaidi ya ujinga wa kujidhania wanajua wakati wanaishi theory za wenzao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ndo hata wakati wa kula wanatumia kanuni za physics eti unafumbua mdomo nyuzi 45 unapotafuna matunda ila nyama unafumbua nyuzi tisini,
Hawana lolote nadhani wanamuona hata mwenzao alosoma sayansi anavyokurupuka kutoa matamko yasotekelezeka halafu analazimisha kuonekana mcha Mungu na mzalendo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaalam mwenyewe bado anakibao cha Learner(L).

Vitunguu maji +Siagi +Asali = ____

Unavifanyaje sasa?
1-Kujichua navyo.
2-Kutafuna.
3-Kutwanga Kisha kumix kwenye
maji ya kuoga.
4-Kujifukiza.

Hebu nyoosha maelezo ueleweke mkuu!
Ahsante ulieanzisha jf, comment ya 2014 nacheka leo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu inawezekana kweli anajua dawa lakin kwenye hiko kipimo cha mkojo umbali wa mita tatu hata mi sijakubali tena ndo kanikumbusha zle mambo za sparm of the jump,initial velocity,accerelation due to gravity kwenye projectile motion
Athari za kukimbia masomo ya science hazifichiki..Unaijua projectile yenye distance ya mita tatu wewe..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maziwa ya ng'ombe wa kienyeji kuyapata mjini shughuli yake pevu mkuu. Ya Hawa ng'ombe broiler hayafai kabisa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…