L LAT JF-Expert Member Joined Nov 20, 2010 Posts 4,400 Reaction score 1,316 Nov 26, 2011 #1 mwenye msaada wa kujua kinachosababisha nyongo kuwa nyingi na dawa ya kupunguza nyongo mwilini huwa inatokea kuitapika asubuhi na hutoka nyingi sana natanguliza shukrani
mwenye msaada wa kujua kinachosababisha nyongo kuwa nyingi na dawa ya kupunguza nyongo mwilini huwa inatokea kuitapika asubuhi na hutoka nyingi sana natanguliza shukrani
Evarm JF-Expert Member Joined Aug 30, 2010 Posts 1,994 Reaction score 1,540 Nov 26, 2011 #2 Sio malaria hiyo mkuu??? Nenda hospitali kwa tiba sahihi!!
L LAT JF-Expert Member Joined Nov 20, 2010 Posts 4,400 Reaction score 1,316 Nov 27, 2011 Thread starter #3 Evarm said: Sio malaria hiyo mkuu??? Nenda hospitali kwa tiba sahihi!! Click to expand... mkuu. sina malaria kabisaaa
Evarm said: Sio malaria hiyo mkuu??? Nenda hospitali kwa tiba sahihi!! Click to expand... mkuu. sina malaria kabisaaa
Jackbauer JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 6,053 Reaction score 2,207 Nov 27, 2011 #4 jaribu kutumia shubiri mkuu.
M Mutambukamalogo JF-Expert Member Joined Jan 25, 2011 Posts 397 Reaction score 85 Nov 27, 2011 #5 LAT said: mkuu. sina malaria kabisaaa Click to expand... Umeshaenda hospital?. Mbona unawahi kubisha tu!. Dokta angeweza kukupa ushauri mbadala kama atakuta hauna malaria. Vinginevyo hapo una ji shehe Yahaya tu.
LAT said: mkuu. sina malaria kabisaaa Click to expand... Umeshaenda hospital?. Mbona unawahi kubisha tu!. Dokta angeweza kukupa ushauri mbadala kama atakuta hauna malaria. Vinginevyo hapo una ji shehe Yahaya tu.
L LAT JF-Expert Member Joined Nov 20, 2010 Posts 4,400 Reaction score 1,316 Nov 27, 2011 Thread starter #6 Mutambukamalogo said: Umeshaenda hospital?. Mbona unawahi kubisha tu!. Dokta angeweza kukupa ushauri mbadala kama atakuta hauna malaria. Vinginevyo hapo una ji shehe Yahaya tu. Click to expand... mkuu, nimeshakwenda hospitali
Mutambukamalogo said: Umeshaenda hospital?. Mbona unawahi kubisha tu!. Dokta angeweza kukupa ushauri mbadala kama atakuta hauna malaria. Vinginevyo hapo una ji shehe Yahaya tu. Click to expand... mkuu, nimeshakwenda hospitali
Kibukuasili JF-Expert Member Joined May 15, 2010 Posts 1,053 Reaction score 615 Nov 28, 2011 #7 Kama unakunywa badili bia