B bushman10 Senior Member Joined Oct 20, 2013 Posts 113 Reaction score 98 Jun 6, 2015 #1 Ninaumwa sikio nimetumia dawa za hosipitali siponi, Naomba kujuzwa dawa za asili wana jamii.
Uduvi JF-Expert Member Joined Sep 3, 2012 Posts 738 Reaction score 518 Jun 6, 2015 #2 Chemsha bangi kiac ikishapoa dondoshea matone mawili au matatu kutwa mara mbili kwa siku nne.utaleta mrejesho wa majibu
Chemsha bangi kiac ikishapoa dondoshea matone mawili au matatu kutwa mara mbili kwa siku nne.utaleta mrejesho wa majibu
O othorong'ong'o Senior Member Joined Jan 20, 2011 Posts 103 Reaction score 19 Jun 8, 2015 #3 tafuta mafuta ya kuku, dondoshea asubuhi na jioni. chinja kuku aliyenona ndo utapata mafuta. kuku wa kienyeji ndo nina uhakika nao, wa kisasa sina uhakika ingawa kuku ni kuku tu. leta mrejesho.
tafuta mafuta ya kuku, dondoshea asubuhi na jioni. chinja kuku aliyenona ndo utapata mafuta. kuku wa kienyeji ndo nina uhakika nao, wa kisasa sina uhakika ingawa kuku ni kuku tu. leta mrejesho.