Dawa ya sumu ya tandu

Kuku wa Kabanga

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2009
Posts
807
Reaction score
368
habari wanajamvi,nahitaji kujua ni dawa gani naweza kutumia baada ya kung'atwa na tandu?
 
Sijui kama kuna dawa maalum, lakini usiwe na hofu sana hakutatokea chochote cha kutishia uhai wako, ila maumivu yakizidi kula vidonge vya kupunguza maumivu na kwenda hospitali haraka.
 
Sijui kama kuna dawa maalum, lakini usiwe na hofu sana hakutatokea chochote cha kutishia uhai wako, ila maumivu yakizidi kula vidonge vya kupunguza maumivu na kwenda hospitali haraka.
BAK, uko sahihi sana!! kitu cha kwanza kuepuka hapo ni hofu! kwani inakuza hali ya ugonjwa wakati kiuhalisia hakuna tatizo la kina sana!!
 
Last edited by a moderator:
huyu tandu si nimesikia kuwa sumu yake kukutoka ni mpaka umkamate umchome majivu yake ndo uweke kwenye kidonda.....?..mdudu namuogopa huyu.....
 
huyu tandu si nimesikia kuwa sumu yake kukutoka ni mpaka umkamate umchome majivu yake ndo uweke kwenye kidonda.....?..mdudu namuogopa huyu.....
Preta namna ya kutengeneza hiyo dawa inakuwa kama jinsi ya kutengeneza Homeopathic Remedies ...

"Homeopathy: Founded in the 19th century, a practice that is based on the concept that disease can be treated with minute doses of drugs thought capable of producing in healthy people the same symptoms as those of the disease being treated." ... http://www.medterms.com/script/main/art.asp?articlekey=3775

I guess ... hata hiyo ya tandu iliyokuwa deactivated kwa kuichoma kwanza inaweza kuwa effective!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…