engineer rutebuka
Member
- Dec 6, 2018
- 21
- 3
Paka midomo yako mafuta ya mgando aina ya vaselini, kula matunda hasa machungwa kunywa maji mengi au waweze kumuona tabibu (daktari)Jamani mwenye kujua dawa au namna yoyote yakunisaidia ili kuondokana natatizo la kupasuka pasuka midoma ambalo ilimenisumbua kwa muda mrefu msaada jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes nilikuwa na tatizo hili niliambiwa kula sana machungwa sasa niko vizuri sijapata tena hiyo shida.Paka midomo yako mafuta ya mgando aina ya vaselini, kula matunda hasa machungwa kunywa maji mengi au waweze kumuona tabibu (daktari)
Sent using Jamii Forums mobile app
Paka midomo yako mafuta ya mgando aina ya vaselini, kula matunda hasa machungwa kunywa maji mengi au waweze kumuona tabibu (daktari)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongezea na nanasiPaka midomo yako mafuta ya mgando aina ya vaselini, kula matunda hasa machungwa kunywa maji mengi au waweze kumuona tabibu (daktari)
Sent using Jamii Forums mobile app