Mkuu,
Kitu kinachoitwa dawa ya UKIMWI hakitakaa kipatikane na kama ikitokea ukaambiwa dawa fulani hasa ya hospitalini inatibu au kupunguza makali ya UKIMWI basi ujuwe hiyo siyo dawa bali ni sumu tu zitakazodhuru kinga yako ya mwili zaidi na mwisho utakufa tu.
Kwanini dawa ya UKIMWI haitapatikana kwa sababu kinachosababisha UKIMWI pia bado hakijulikani ndiyo sababu tafiti zinaendelea kufanyika, wanaofanya tafiti hizo wanahitaji mishahara, marupurupu na magari ya kutembelea - ma-DFP na NGO's kibao pia viwanda vya madawa nao wanahitaji kuuza dawa/sumu zao. Kwahiyo hao madaktari wanaodai waligunduwa dawa kama dawa yenyewe ilikuwa haileti madhara zaidi kwa mtumiaji lazima wangenyamazishwa tu kwa namna yeyote, chezeya hela wewe? kwa vipande 30 Yuda alimsaliti Yesu.
Kwa kifupi; UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini ambao unaweza kutokea sababu hatuli mlo kamili, hatunywi maji, hatufanyi mazoezi, tunatumia pombe kupita kiasi, tunatumia madawa ya kulevya kupita kiasi au kama tunafanya ngono ndiyo chakula chetu (wanasema bao moja ni sawa na kutembea kwa miguu mwendo wa km 27, kwahiyo kama wewe kila siku kutwa mara 3 ni lazima nguvu ya mwili na kinga itashuka tu hata kama unafanya hivyo na mpenzi mmoja tu).
Kamwe UKIMWI hausababishwi na kirusi cha aina wala jina lolote, tena kwa kusisitiza UKIMWI si ugonjwa wa kuambukizana.
Tizama video hii hapa chini kwanza halafu utauliza maswali mengine, NB: Usiulize swali lingine kama hujatizama kwanza hii video, ukiweza idownload ibaki katika computer yako:
Jamani, hivi wameishia wapi wale madaktari wawili
wa kimarekani ambao ilikuwa inasemekana wamegundua
dawa ya ukimwi?
Mbona jambo lenyewe limezimika gafla kama kibatari kilichoishiwa
mafuta?
Ni kweli dawa ipo na inaendelea kufanyiwa utafiti au ilikuwaje?