Hi,
Jamani leo nimekutwa na mstuko kuna dada nimekutana naye kwaajili ya kuchukua interview yake...u see there has to be a warm up session so that the candidate feels comfortable during the interview...
Kabla ya interview kwenye maongezi ya hapa an pale, nilistuka when that girl asked me about dawa ya kunenepa. i was dumb found, nilikuwa sijui nimjibu je coz mimi sijawahi kusiskia hiyo dawa!!!
Eti wanaJF is there any medicine like that? Je ni ya uhakika? embu umsaidie huyo mwanadada...naona yuko serious kutaka unene!!! tweh tweh tweh hahahaha inachekesha lakini............ya ukweli hayo
Jamani leo nimekutwa na mstuko kuna dada nimekutana naye kwaajili ya kuchukua interview yake...u see there has to be a warm up session so that the candidate feels comfortable during the interview...
Kabla ya interview kwenye maongezi ya hapa an pale, nilistuka when that girl asked me about dawa ya kunenepa. i was dumb found, nilikuwa sijui nimjibu je coz mimi sijawahi kusiskia hiyo dawa!!!
Eti wanaJF is there any medicine like that? Je ni ya uhakika? embu umsaidie huyo mwanadada...naona yuko serious kutaka unene!!! tweh tweh tweh hahahaha inachekesha lakini............ya ukweli hayo