CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
hali zenu, kuna dogo hapa home katokewa na vibarango usoni na kila siku vinazidi kusambaa. dawa yake ni nini na chanzo ni nini? please MziziMkavu na dr. Riwa help. . .
Ungelimpeleka kwanza Hospitali wakamtibu ikishindikana hajapona ndio waweza kuja hapa na kuulizia Dawa yake nini ? sasa hujampeleka hata Hospitali mkuu.@charminglad unakuja kuulizia dawa yake ni nini huyo mtoto mgonjwa? Samahani kama nitakukwaza.
Umesha mpeleka Hospitali huyo mtoto bibie charmingladyasante kwa ushauri!