demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Nafikiri Dunia ya hivi sasa ingepata viongozi wa imani ya Dini wenye mitazamo sawa na huyu Mexemed , Basi haya Matatizo ya vijana wetu ya
kujitoa mhanga ili kukamilisha lengo fulani yangekwisha kabisa!
Kabla ya kutazama hii video , sijaona kiongozi wa Imani akitoa nasaha zake kwa jinsi hii.!
kujitoa mhanga ili kukamilisha lengo fulani yangekwisha kabisa!
Kabla ya kutazama hii video , sijaona kiongozi wa Imani akitoa nasaha zake kwa jinsi hii.!
Last edited by a moderator: