Dawa ya vijana ambao wamekuwa Brainwashed..!

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Nafikiri Dunia ya hivi sasa ingepata viongozi wa imani ya Dini wenye mitazamo sawa na huyu Mexemed , Basi haya Matatizo ya vijana wetu ya
kujitoa mhanga ili kukamilisha lengo fulani yangekwisha kabisa!

Kabla ya kutazama hii video , sijaona kiongozi wa Imani akitoa nasaha zake kwa jinsi hii.!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…