Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeshindwa kuiweka picha kamili lakini iko kwenye attached file hiyo wajimini
mnisamehe buree tuu ushamba huuu jamani
may be!!1ila dont u think hapo mtu hawezi iba ndala zako?atavaaje? i think ni kind of a joke
"Ulinzi" unapokuwa ghali kuliko kinacholindwa hapo kunakuwa na tatizo la "economic justification".Labda kama ndala ni artifacts fulani zenye historic significance au attachment ya kihivyo (e.g zilitembea kuunga mkono azimio lol, in which case they should be in a safe or museum anyway).
Hv hao wajomba wapo hai maana duh 2007 ndio nilikua nna miaka mi 4 sa sjui walikua wanachatia na simu gani Phillips au blackberry.....nahc hawa ndio wale ma blaza waliokua wakishinda internet cafe kutwa wakitudanganya wana chat na kina 50 cent
HakikaHv hao wajomba wapo hai maana duh 2007 ndio nilikua nna miaka mi 4 sa sjui walikua wanachatia na simu gani Phillips au blackberry.....nahc hawa ndio wale ma blaza waliokua wakishinda internet cafe kutwa wakitudanganya wana chat na kina 50 cent
Mwaka 2010 mwanzoni nilikitana na edo kumwembe kwenye internet cafe jirani na nilipokuwa nakaa jamaa alikuwa anatumia hata masaa ma5Hv hao wajomba wapo hai maana duh 2007 ndio nilikua nna miaka mi 4 sa sjui walikua wanachatia na simu gani Phillips au blackberry.....nahc hawa ndio wale ma blaza waliokua wakishinda internet cafe kutwa wakitudanganya wana chat na kina 50 cent