sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,527
- 865
msaada jamani,
hivi karibuni nimekuwa nikipata maumivu makali ktk mguu wa kulia nyuma ya goti, kuna msuri nikikunja mguu basi ni taabu kuinuka , unakuta huo msuri unakaza(haunyooki) kiasi huwezi kunyoosha mguu, nimekwenda hospitali dawa nimetumia lkn tatizo liko palepale. wenye kufahamu tiba naomba anijuze. tafadhali.
hivi karibuni nimekuwa nikipata maumivu makali ktk mguu wa kulia nyuma ya goti, kuna msuri nikikunja mguu basi ni taabu kuinuka , unakuta huo msuri unakaza(haunyooki) kiasi huwezi kunyoosha mguu, nimekwenda hospitali dawa nimetumia lkn tatizo liko palepale. wenye kufahamu tiba naomba anijuze. tafadhali.