Dawa yake ni nini........?

sinafungu

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2010
Posts
1,527
Reaction score
865
msaada jamani,
hivi karibuni nimekuwa nikipata maumivu makali ktk mguu wa kulia nyuma ya goti, kuna msuri nikikunja mguu basi ni taabu kuinuka , unakuta huo msuri unakaza(haunyooki) kiasi huwezi kunyoosha mguu, nimekwenda hospitali dawa nimetumia lkn tatizo liko palepale. wenye kufahamu tiba naomba anijuze. tafadhali.
 
Dawa ya ugonjwa wa maumivu, na uvimbe (Arthritis) Tumia vijiko viwili vya maji vuguvugu na kuchanganya na

kijiko kimoja cha asali mbichi ya nyuki, na kijiko kimoja cha unga wa mdalasini, koroga sawa

sawa kisha chua sehemu zilizoathirika, asubuhi na jioni Insahaallah nafuu kubwa itapatikana

kwa muda wa dakika mbili fanya hivo muda wa wiki moja Mponeshaji ni Mwenyeezi Mungu.

Dawa ni nyingi kwa kweli lakini Inshallah nitaziandika hizi 3 ambazo ni common tu:

Pika kuzumbara (coriander) pamoja na hinna na siki pamoja na unga wa shairi (unga wa ngano)kisha

uweke au upake pale penye maumivu.


Ukipika Sarjal (quince) pamoja na maji ya Shairi (ngano) ikisha upake panopo uma, huponza maumivu.

Asali safi ya nyuki kijiko kimoja ukinywa pamoja na kijiko kidogo cha Mafuta ya Habbat Sawda huondosha

maumivu ya viungo.Mkuu.@
sinafungu Tumia moja kati ya hizo Dawa kwa muda wa siku 3 kisha uangalie kama

itakusaidia la kama bado haitakusaidia tumia ingine kisha unipe feedback.
 
shukran laa kum, nimekusikia nitakupa matokeo, insh alhaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…