DOGofGOD
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 1,341
- 480
Nimekunywa Dawa Za Antibiotics Za Minyoo Na Tumbo Aina Ya "Secnidazole Tablets".Nimekunywa Jana Asubuhi Muda Wa Saa Nne(4) Asubuhi.Kwa Dozi Ya "2*1".
Je Ni Mda Gani Dawa Hii Itaendelea Kufanya Kazi Mwilini.Na Ni Mda Gani Naweza Kuruhusiwa Kuanza Kunywa Maziwa.Ili Nisipunguze Nguvu Ya Dawa Mwilini.?
Napenda Sana Kunywa Maziwa.Lakini Nafahamu Maziwa Yana Tendency Ya Kupunguza Nguvu Ya Dawa.Mpaka Sasa Yameshapita Takribani Masaa Thelathini Na Mbili(32).Naweza Kunywa Maziwa Bila Madhara Yeyote?.Masaada Tafadhari.
Je Ni Mda Gani Dawa Hii Itaendelea Kufanya Kazi Mwilini.Na Ni Mda Gani Naweza Kuruhusiwa Kuanza Kunywa Maziwa.Ili Nisipunguze Nguvu Ya Dawa Mwilini.?
Napenda Sana Kunywa Maziwa.Lakini Nafahamu Maziwa Yana Tendency Ya Kupunguza Nguvu Ya Dawa.Mpaka Sasa Yameshapita Takribani Masaa Thelathini Na Mbili(32).Naweza Kunywa Maziwa Bila Madhara Yeyote?.Masaada Tafadhari.