habari!!!!!!!!
naomba nitoe mchango wangu kuhusu hili
mwanaume anatakiwa ku produce sperm mil 50-160 ili aweze kuzalisha mwanamke sasa mwanaume kama hawezi ku produce hizo sperm kwa kiwango hicho awez kuzalisha pia kuna matatizo meng tu kama vile mwanaume anaweza akawa anaproduce sperm nyng zikawa znakufa pia akawa ana zalisha abnormal sperm kma sperm kuwa na vichwa viwil au mkia mfup au mikia miwil pia mwanaume anaweza.akawa hawez ku produce semen ambayo husaidia katika kusafirsha sperm kwenda kuktana na yai la kike sasa kma hawez produce hyo inawezkana akawa na tatizo la prostate gland
kwa ufanuz piga au whatsaap 0765650028