Dawa za kienyeji/mbadala

RealTz77

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2009
Posts
738
Reaction score
41
Salaam ndugu zangu.

Nimekuwa kwa muda nikihudhuria clinic moja mitaa ya Sinza kwa remy kwa ugonjwa wa kuwashwa ngozi, sasa kila nikienda napewa dawa tofauti kama aina saba hivi, but ukiangalia, ukinywa zina same test, halafu kama maji, tafadhali mwenye uelewa na hili please nisaidie ni dawa zile au tunapewa imani na kupona kimtindo?

Pia zipo expensive sana na ni kwamba watu wengi wanaenda ndo ikanipa imani nami niende pale!
 
Ni bora ukafanye allergy test kuliko kunywa madawa.
 
nishafanya test zote na sina allergy mkubwa! ni mwaka mmoja sasa!


Mi mwenyewe nilikua ninatatizo hilo nilipimwa niliambiwa nina allergy ya kitimoto, maziwa na manyoya ya paka.

Nikaacha kuvitumia, lakini niliendelea kuwashwa. Nikaja kugundua mwenyewe kuwa nina allergy ya mayai.


Nadhani allergy yako iko kwe maji unayoogea, aina ya sabuni/mafuta/lotion etc ambavyo ni vigumu wakati mwingine doctor kukuambia mfano usitumie Giv, tumia Revola.
Jichunguze mwenyewe kwa kuacha kimoja kimoja vitu unavyopendelea kutumia daily.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…