ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 327
Habari zenu wakuu..
Nina mtoto wa jamaa yangu anaumwa ugonjwa wa Sickle cell na ndio kwanza ana miaka mitatu. Anahangaika sana kushindana na crisis za uvimbe na maumivu makali sana anayopata mtoto.
Huu ugonjwa hauna Tiba bali Tiba pekee ya kihospitali ni Bone Marrow/Spem Cells transplant ambayo gharama yake inazidi $20,000, haifanyiki Tanzania, lazima apatikane >95% matching donor, ina'involve Chemotherapy ambayo inaua baadhi ya cells za mwili, kuna posibility ya transplant kushindwa, ina risk ya kumletea madhaara ya mwili na pia husababisha kifo kwa mgonjwa.
Huyu bwana ana ndugu yake aliumwa huu ugonjwa zamani sana akapewa dawa na bibi wa KIHAYA na mpaka sasa anakaribia miaka 40 hajaumwa tena na anaishi maisha ya kawaida kabisa na watoto watatu. Tatizo kubwa huyo mama wa Kihaya hajui pa kumpata tena na kwa sasa dawa za Uwongo zimekua nyingi sana.
Yeyote mwenye kufahamu Daktari wa Asili kutoka hio mikoa ya Kaskazini Magharibi naomba mawasiliano yake nimpatie huyu jamaa yangu wa karibu sana. Awe Daktari mwenye rekodi ya kutibu kweli na sio longolongo.
Nitashukuru sana wandugu.
Asante.
Nina mtoto wa jamaa yangu anaumwa ugonjwa wa Sickle cell na ndio kwanza ana miaka mitatu. Anahangaika sana kushindana na crisis za uvimbe na maumivu makali sana anayopata mtoto.
Huu ugonjwa hauna Tiba bali Tiba pekee ya kihospitali ni Bone Marrow/Spem Cells transplant ambayo gharama yake inazidi $20,000, haifanyiki Tanzania, lazima apatikane >95% matching donor, ina'involve Chemotherapy ambayo inaua baadhi ya cells za mwili, kuna posibility ya transplant kushindwa, ina risk ya kumletea madhaara ya mwili na pia husababisha kifo kwa mgonjwa.
Huyu bwana ana ndugu yake aliumwa huu ugonjwa zamani sana akapewa dawa na bibi wa KIHAYA na mpaka sasa anakaribia miaka 40 hajaumwa tena na anaishi maisha ya kawaida kabisa na watoto watatu. Tatizo kubwa huyo mama wa Kihaya hajui pa kumpata tena na kwa sasa dawa za Uwongo zimekua nyingi sana.
Yeyote mwenye kufahamu Daktari wa Asili kutoka hio mikoa ya Kaskazini Magharibi naomba mawasiliano yake nimpatie huyu jamaa yangu wa karibu sana. Awe Daktari mwenye rekodi ya kutibu kweli na sio longolongo.
Nitashukuru sana wandugu.
Asante.