Nina rafiki yangu ambaye ananunua dawa za kikohozi kila siku na hawezi kuacha.
Iko hivi, dawa nyingi za kikohozi zina codeine Ndani yake. Codeine ni dawa ya kulevya ambayo kama zilivyo dawa zingine, huleta addiction. Tafadhali usitumie dawa yoyote bila kushauriwa na mtoa huduma za afya kwani kufanya hvyo ni Drug Abuse...
Iko hivi, dawa nyingi za kikohozi zina codeine Ndani yake. Codeine ni dawa ya kulevya ambayo kama zilivyo dawa zingine, huleta addiction. Tafadhali usitumie dawa yoyote bila kushauriwa na mtoa huduma za afya kwani kufanya hvyo ni Drug Abuse...