Dawa tatu
(high caffeine content)
Kuna watu hawawezi chochote bila DAWA TATU
NB panadol advance.
Pia wako wanaojua na wanazitumia kama mbadala wa dawa za kulevya zilizozoeleka kama Cocaine au Heroin. Pia hii ni aina ya ulevi unaochipukia hasa baada ya uthibiti wa dawa za kulevya kuwa mkali.
Matumizi ya Syrup zenye viambato aina ya Codeine and the likes kama dawa za kulevya yako sana kwenye Nigeria na hii ni aina ya ulevi unaokuja kwa kasi sana.
Baadhi ya maeneo ya South Africa kuna wakati walikuwa wanatengeneza misokoto yenye mchanganyiko wa viambato mbalimbali ikiwemo Efavirenz ambayo ni aina ya ARVs. Michanganyiko hi hujulikana kwa jina la Wunga.
Pia dawa kama Valium na Ephedrine hutumika kama vilevi na baadhi ya watu.
Yes, Pepsi, Coca-Cola, Red Bull, zote zina caffeine, nazo zina caffeine.
Panadol haina caffeine. Ina paracetamol tuu. And it's the least harmful ingawa nayo Ina shida yake pia in long high dose use.
Panadol Extra ile nyekundu maana boss wangu kila ananituma mpaka nimechoka
Panadol Extra =Each tablet contains Paracetamol 500 mg and Caffeine 65 mg.Angalia content zake. Panadol Ina paracetamol tuu
Extra kumbe. Hiyo caffeine kweli si mchezo. Zingine zina 30mg