Dawa za kimasai za kuotesha nywele!

Dawa za kimasai za kuotesha nywele!

Wilbert1974

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
1,632
Reaction score
481
Nimekutana mara kadhaa na hawa MaDr wa mitipori wa Kimasai wakinadi dawa ya kuotesha nywele kwa wenye vipara!
Ninachopenda kujua kama kuna mdau ameisha tumia hizi dawa na kweli zikaotesha nyweleze atupatie ushuhuda hapa...
Itapendeza akiweka hata kapicha kuonyesha kabla na baada ya tiba hii mbadala.
 
Back
Top Bottom