Ukiamka asubuh kitu cha kwanza kabisa kunywa maji ya uvuguvugu glass mbili,alaf uwe unafanya mazoez.punguza vyakula vya sukari,punguza vyakula vyenye mafuta,pia penda kunywa maji kwa sana ,kwasababu unapokunywa maji sana hamu ya kula inapungua na hapo unaweza kukonda,jaribu ivo ndani ya mwez tu na utaona mabadiliko