Dawa za uume kutosimama vizuri

Utakuwa unaangAlia muv asubuh mpaka jioni nayo lazima ilale,ukijibidiisha na kazi yoyote Ile nayo inakuwa active.fanya kazi au mazoezi
 
dawa ipo mkuu ni tangawizi njia za kuitengeneza ili ilete matokeo mazuri nipm gharama za maelezo ni tsh elfu10 tu matokeo ndani ya siku moja baada ya kutumia

Na shoka moja mbuyu chini?
 
Watu mpo kibiashara zaidi.

Achaneni nao hao, tatizo la ajira linawasumbua hao waganga wa kienyeji.

Kwanza acha Punyeto km unatumia. Pili Asali mbichi inasaidia sn kuondoa tatizo hilo, uwe una kunywa vijiko vya chakula viwili mara tatu kwa siku, asubuh, mchana na jion kwa mda wa wiki mbili. Baada ya hapo endelea kwa kukoroga kwenye chai badala ya sukari asubihi na usiku kwa muda wa wiki mbili tena. Mwisho endelea kutumia asali mbichi km sukari ktk chai asubihi tu. Pia endelea kitumia asali km sehemu ya diet mf kupaka kwenye mkate n.k. Toka ulipoanza kutumia asali baada ya wiki mbili au mwezi unaweza kugegeda vzr tu.
Unaweza kupunguza matumiz ya asali na ukatumia kawaida tu na bila kusahau natural foods na matunda.
Dalili za kuanza kupona ni kupata morning erection, wkt mwingine itasimama kwenye dala dala au ukiwa mbele ya wanafunzi wenzio unapresent. Jaribu utakuja niambia hapa hapa ila usisahau kula vizuri, dona, ulezi, sea foods, nuts, majani, maziwa na matunda ya aina zote. Achana na mapombe, masoda au artificial foods n drinks, kunywa maji mengi na juisi za kutengeza za asili, matikiti, matango n.k. Baadae utakaa sawa na utasahau hilo tatizo km lilikuwepo.
 
Kula tende saba baada ya hapo nenda kanywe supu ya pweza kwa muda wa siku saba kila siku jioni utakuja kuniambia yaani hadi wewe utaona kero
 

we muuaji
 
Kuna mti naujua kwa kiluga ngoja nigoogle scientific name yake ,huo mti unachimba mzizi kisha unachuna kipande kidogo ,kabla ya kuanza mechi unakipachika kati ya canine[meno mchonge],kitu hakitalala mpaka utoe huo mzizi
Habari wakuu.
Nini dawa ya uume kuto simama vizuri?
Ahsante
 
Habari wakuu.
Nini dawa ya uume kuto simama vizuri?
Ahsante
Naomba uletemrejesho hapa hapa....
Usikose asubuhi-ussiku 2spons asali mix na mdalasini, juice ya tikiti mchana Karanga mbichi kula na muhogo mbichi, sea food hasa hasa supu ya pweza,, Fanya mazoezi japo 30mins/day.....acha vitu vya gas tumboni...soda, pombe, mafuta mafuta punguza(chips zege), kunywa maziwa na tende...bada ya 7days ukitumiaa utanambia.....
 
Afuate huu ushauri , halafu atuletee mrejesho.
 
Ukiamka asubuhi....kaanga ngogwe sadolini moja na pilipili kilo moja...ule urojo unakunywa kwa mda wa miaka 100 baada ya apo utaona mafanikio ww mwnyw utarudi apa kutoa ushuhuda baada ya iyo mia 100 toka uanze...
 
Ale nyama choma nusu kilo ambayao imechomwa hadi medium rare anywe na bia mbili au tatu alafu asubirie matokeo
 
Tatizo la mboo kutokusima ni kutokana na
~ulegevu wa mshipa wa mboo
~upungufu wa damu na oxgen katika mishipa inayozunguka mboo
~magonjwa kama kisukari na pressue
~upungufu wa hamu ya tendo la ndoa kutokana na sababu mbalimbali

Ikiwa utatumia dawa izo umeambiwa na wat hapa bila kwanza kusafisha mwili wako hasa figo na kutibu presha na kisukari broda nakuhakikishia, utapona siku mbili tu! Ugonjwa utarudi.

Na pili ukitibu mapresh na sukari na kupata dawa ya kuimarisha mboo lakini ukaendelea kula chps, tigo, na kutokufanya mazoezi ni bure

HATUA
1. Tibu sukar na presur pamoja na kusafisha figo
2. Imarisha mboo tumia dawa za virutubisbo, SIYO mitishamba ama jamii ya viagra
3. ishi ktk usafi kula matunda na mboga, nafaka nzima,maziwa na assali fresh, usile mafuta meng, acha tgo, pombe tumia wine, piga tizi, kata kitambi, KUWA MJANJA

NOTE.DAWA ZA VIRUTUBISHO NA ASAL NINAZO - ARUSHA
 
SOMA HII THREAD MPENDWA, TATIZO LINAPONA KABISA SAWA:

Haya hapa ni matibabu yake wapendwa
Hello Dear friends and everyone ...........some people have sexual potency problems in their relationship and marriage too, this is due to different facts such as High stress, hormonal problems,and others do affect sexual desire and ability.....Do not worry about it, I'm here to recover this problem
Here are some of our products you can you to recover from sexual potency problems
1. VIG POWER CAPSULES, Here are some of it's functions (a ) Conserves the vital power and strengthens the sexual ability through replenishing kidney (b ) Increases sperm count and improves sperm mobility (c ) Increases sexual desire of men, enhances the Oxygen content in blood which helps in penis erection for normal sexual performance. (d ) Helps with sexual dysfunctions such as premature ejaculation, erectile dysfunction or frequent spermatorrhea.
2. ZINC TABLES, Here are some of it's functions. (a ) Essential for optimal physical performance and energy levels. (b ) for protein synthesis and proper function of red and white blood cells. (C ) Participates in synthesize of more than 200 metalloprotease and nucleic acid. (D ) Enhances immunity and accelerates would healing. (e )Supports reproductive system of men and women and helps with infertility....
WENYE MATATIZO YA NDOA NA UHUSIANO WA KIMAPENZ KWA SABABU YA UPUNGUFU WA TENDO LA NDOA AU KUTOWEZA KUFANYA TENDO LA NDOA , HILO TATIZO LINATIBIWA NA KUONDOKA KABISA NA KURUDISHA HESHIMA YAKO YA NDOA AU UHUSIANO WAKO WA KIMAPENZI KATIKA UBORA WAKE NA MVUTO PIA.............KWA PAMOJA KILA TATIZO TWAWEZA LITATUA KAMA TUTAPATA TAARIFA KAMILI NA MATIBABU SAHIHI.....ASANTENI SANA
FOR MORE DETAILS CALL ME BY 0654158574/0765353056/0684974811
..................................................WE SHARE, WE CARE.......WELCOME
 
fuata ushauri hapo juuu ila usisahau matembele chemsha kunywa supu yake utaona matokea baaada ya siku 7.
 

Fata ushauri huo hapo ila pia kwa kuongezea tu ule pia mushroom na kaa unavuta sigara acha mara moja
 
[h=3]Napenda kumshauri mhusika yeyote aliye na shaka juu ya hilo pia ni kweli kuna ambao wanaogopa kusema na kuficha maradhi. Ushauri wangu mkubwa ni kuachana kabisa na punyeto na kuzingatia kula vyakula vizuri na kuepukana na vyakula vya viwandani pia kuzingatia mazoezi. Kama ni mtu mwenye nyendo zingine zisizofaa kama utumiaji wa madawa ya kulevya, uvutaji, ulevi kuachana navyo kabisa. Kwa wale wenye kuhitaji msaada maalumu wa lishe iliyoandaliwa kiasilia afuatilie hiyo link hapo chini kwa maelezo zaidi. Sisi sote ni ndugu hatuna budi kusaidiana. Karibuni

FURAHA: Nguvu za kiume sio tatizo tena
[/h]
 
Habari wakuu.
Nini dawa ya uume kuto simama vizuri?
Ahsante



SOMA HII THREAD MPENDWA, TATIZO LINAPONA KABISA SAWA:

Haya hapa ni matibabu yake wapendwa
Hello Dear friends and everyone ...........some people have sexual potency problems in their relationship and marriage too, this is due to different facts such as High stress, hormonal problems,and others do affect sexual desire and ability.....Do not worry about it, I'm here to recover this problem
Here are some of our products you can you to recover from sexual potency problems
1. VIG POWER CAPSULES, Here are some of it's functions (a ) Conserves the vital power and strengthens the sexual ability through replenishing kidney (b ) Increases sperm count and improves sperm mobility (c ) Increases sexual desire of men, enhances the Oxygen content in blood which helps in penis erection for normal sexual performance. (d ) Helps with sexual dysfunctions such as premature ejaculation, erectile dysfunction or frequent spermatorrhea.
2. ZINC TABLES, Here are some of it's functions. (a ) Essential for optimal physical performance and energy levels. (b ) for protein synthesis and proper function of red and white blood cells. (C ) Participates in synthesize of more than 200 metalloprotease and nucleic acid. (D ) Enhances immunity and accelerates would healing. (e )Supports reproductive system of men and women and helps with infertility....
WENYE MATATIZO YA NDOA NA UHUSIANO WA KIMAPENZ KWA SABABU YA UPUNGUFU WA TENDO LA NDOA AU KUTOWEZA KUFANYA TENDO LA NDOA , HILO TATIZO LINATIBIWA NA KUONDOKA KABISA NA KURUDISHA HESHIMA YAKO YA NDOA AU UHUSIANO WAKO WA KIMAPENZI KATIKA UBORA WAKE NA MVUTO PIA.............KWA PAMOJA KILA TATIZO TWAWEZA LITATUA KAMA TUTAPATA TAARIFA KAMILI NA MATIBABU SAHIHI.....ASANTENI SANA
FOR MORE DETAILS CALL ME BY 0654158574/0765353056/0684974811
..................................................WE SHARE, WE CARE.......WELCOME
 

Attachments

  • 1442375145531.jpg
    54.6 KB · Views: 201
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…