Dawa zipi nzuri kati ya za wamasai na za maustadhi?

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,440
Reaction score
8,149
Wakuu naomba mnijuze kati ya dawa za mmasai na hizi za kisunna wanauza maustadh kwenye maduka ya madawa yao zipi zinafanya vizuri katika tiba? Nisaidieni ili niamue kwenda kwa masai ama ustadhi
 
wakuu naomba mnijuze kati ya dawa za mmasai na hizi za kisunna wanauza maustadh kwenye maduka ya madawa yao zipi zinafanya vizuri katika tiba? nisaidieni ili niamue kwenda kwa masai ama ustadh
Jarbu zote itakayokutibu mapema ndio uendelee kumtumia, KUMBUKA kupona na kutopona ni ww mwenyew

Pirate
 
Kwa wamaasai utalishwa uchafu,maust watakulisha majini,uamuzi ni wako!
 
Mnamuweka-ga Mungu wa mwisho, yaani utahangaika hukooo weeeee ukiishiwa sasa huna jinsi tena. " sasa unajitikeza kanisani".
 
Dawa nzuri ni hizo za kisuna,lakini nenda kwenye zile dispensari zao,sio zile wanazokatiza nazo mtaani.
 
Za maustadhi bhana alafu wanafujo wale

Kwanza wataanza na aya na hadithi kibao mwisho unasikia mashekh ukitaka weka heshima nyumbn mzigo huu

Ila dawa zao ziko vzr kuliko za maasai
 
Kwaiyo aumwe alafu asuburi imani ifanye kazi bila kutumia dawa wala nn

Mkuu umekula kweli usiku au maisha yako mchaka mchaka
una ubongo au una funza kichwani....imani yake itamponya juu ya kile atakachokitumia eidha dawa za kimasai au za maustadhi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…