halloperidon
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,096
- 5,254
Wachungaji wenyewe wanatafuta tiba mahospitaliniMnamuweka-ga Mungu wa mwisho, yaani utahangaika hukooo weeeee ukiishiwa sasa huna jinsi tena. " sasa unajitikeza kanisani".
ungesema ivyo sasa uwoni umeeleweka sasauna ubongo au una funza kichwani....imani yake itamponya juu ya kile atakachokitumia eidha dawa za kimasai au za maustadhi...
Kazi ya wewe kupona ni kazi ya Allah kutumia kwako dawa ni sababu ya wewe kuweza kupona lakini mwenye sifa ya kuponya ni ALLAH lakini mpaka utumie maarifa aliyowapa binadam wenzako ndio ma dr, maustadh, wamasai na wengineo haram ni kujitibu kwa imani ya ushirikina tu. Mfano kupiga ramli kutaka kujua kwanini umeumwa nani kakuroga ,kwenda kuzika vitu makaburini ,kunywa damu za wanyama tiba hizo ndio haramu,na hata kuiamini dawa ndio imekuponya pia si vyema utakuwa umeipa sifa ambayo si yake .Hivyo kuhusu mmsai na ustadh unaweza ukatumia dawa yoyote kati ya hizo lakini isifungamane na ushirikinaWakuu naomba mnijuze kati ya dawa za mmasai na hizi za kisunna wanauza maustadh kwenye maduka ya madawa yao zipi zinafanya vizuri katika tiba? Nisaidieni ili niamue kwenda kwa masai ama ustadhi
hahaha ulivong'ang'ania io njaa mkuu....ukiwa na roho ndogo umu JF lazima upanick...ungesema ivyo sasa uwoni umeeleweka sasa
naona jana ilikuwa njaa tu
Kwani wapi nimeandika kua kaniuliza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]