mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Mhandisi Mkama Bwire, Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA) amesema sasa changamoto ya maji inyoikumba Tabata itakwenda kuisha Disemba
"Kuna Tanki kubwa lenye uwezo wa kuhifadhi lita za Maji milioni 9 kwa siku, ambalo linajengwa kwa gharama ya takribani bilioni 34.5 ambalo litaeda kupunguza changamoto ya Maji katika maeneo ya Tabata, Ukonga mpaka Kibamba, mradi huu kwa sasa umefikia 60%, na Kama hakutakuwa na changamoto tunatarajia mradi kukamilika Disemba 2024"
Pia soma
"Kuna Tanki kubwa lenye uwezo wa kuhifadhi lita za Maji milioni 9 kwa siku, ambalo linajengwa kwa gharama ya takribani bilioni 34.5 ambalo litaeda kupunguza changamoto ya Maji katika maeneo ya Tabata, Ukonga mpaka Kibamba, mradi huu kwa sasa umefikia 60%, na Kama hakutakuwa na changamoto tunatarajia mradi kukamilika Disemba 2024"
Pia soma
- Dar: Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amsimamisha kazi kaimu Mkurugenzi wa DAWASA, Shaban Mkwanywe kwasababu ya uzembe kazini
- Maeneo ya Segerea hadi Kinyerezi hakuna Maji
- Tabata Bonyokwa hatujaona tone la maji wiki ya tano sasa, DAWASA mnatuona manyani?
- DOKEZO - DAWASA, Segerea kuna mgao wa maji kimyakimya? Wiki ya pili mitaani hakuna maji!
- KERO - Kinyerezi kuna shida kubwa ya maji, group la DAWASA WhatsApp halifanyi chochote kutatua kero hii
- KERO - Waziri wa Maji jitokeze huko uliko uagize Tabata Kinyerezi wafunguliwe maji
- DAWASA wanauza maji kwa njia ya magari Kinyerezi wakati Mabomba hayatoi maji