DAWASA Kinyerezi mna shida gani?

DAWASA Kinyerezi mna shida gani?

aby123

New Member
Joined
Oct 21, 2020
Posts
2
Reaction score
0
Kabla ya malipo niliwauliza inachukuwa muda gani kuunganishiwa maji wakajibu siku 7 hadi 21 za kazi sasa baada ya malipo imepita miezi miwili sasa nikiwapigia wanadai vifaa hakuna hadi nafikiria wanatengeneza mazingira ya rushwa maana sio sawa hii.
 
Back
Top Bottom