DAWASA Kinyerezi mna shida gani?

aby123

New Member
Joined
Oct 21, 2020
Posts
2
Reaction score
0
Kabla ya malipo niliwauliza inachukuwa muda gani kuunganishiwa maji wakajibu siku 7 hadi 21 za kazi sasa baada ya malipo imepita miezi miwili sasa nikiwapigia wanadai vifaa hakuna hadi nafikiria wanatengeneza mazingira ya rushwa maana sio sawa hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…