Nafaka JF-Expert Member Joined Feb 17, 2015 Posts 12,154 Reaction score 31,246 Oct 22, 2022 #1 Yapata siku ya nne leo katika baadhi ya maeneo ya Tegeta mpaka Bunju maji hakuna. Watu wanahangaika kusaka maji. Halafu utasikia waziri anapewa sifa kweli lakini kila siku maji sehemu mbalimbali utasikia shida. Au ndio kuna mgao wa maji
Yapata siku ya nne leo katika baadhi ya maeneo ya Tegeta mpaka Bunju maji hakuna. Watu wanahangaika kusaka maji. Halafu utasikia waziri anapewa sifa kweli lakini kila siku maji sehemu mbalimbali utasikia shida. Au ndio kuna mgao wa maji
I Intuition JF-Expert Member Joined Feb 7, 2013 Posts 1,442 Reaction score 4,700 Oct 22, 2022 #2 Kumbe ni kote..mie mwenyewe kwangu maji hamna..
fundi bishoo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 14,264 Reaction score 27,132 Oct 22, 2022 #3 Hata kwetu hamna maJi shenzi hawaa