DOKEZO DAWASA kuna watu wamejenga juu ya Mabomba yenu huku Kibamba

DOKEZO DAWASA kuna watu wamejenga juu ya Mabomba yenu huku Kibamba

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,956
Reaction score
5,149
Hii ni hatari kwa usalama endapo Bomba hili litapasuka Na ni uhujumu uchumi kama Kuna wizi wa maji. Kuna mtu hapa Kibamba Hospitali, ni mfugaji wa Samaki amefungia Bomba lenu kubwa ndani ya ukuta wake. Na huko ndani kwake Kuna mabwawa ya kufugia Samaki. Makao Makuu ya wilaya ya Ubungo hayapo mbali na hapo kwake. Ofisi za DAWASCO hazipo mbali na hapo kwake. Wasoma mita wanapita hapo Kila siku. Lakini ameachiwa tu.

Naomba Mkurugenzi wa Oparesheni Taifa wa Dawasco ufike hapo ukague uhalali wa mtu huyu kujengea miundo mbinu yenu ndani ya ukuta wake. Inaonekana Hawa wa wilayani amewaweka mfukoni kwake.
 
Tuwekee picha kesho tutakuwa hapo
Aah.. mkitaka Msije bwana Watu wenyewe mshazoea rushwa nyie. Mi nimewapa taarifa bado mnataka na picha? Si mwende mkajionee wenyewe. Au hamjui hata Bomba lenu lilipopita.?
.
 
Wivu!!!
Kila mtu alambe asali vile anaweza
 
Back
Top Bottom