DAWASA leo katika mkutano na waandishi wa habari mmeulizwa kuhusu tatizo la kutoka maji ya bomba yakiwa machafu kwa baadhi ya wakazi wa Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam. Hii inamaanisha nini kwa sisi wakazi wa maeneo haya?
Maji ya bomba ni machafu yanayotoka katika maeneo yetu yanazidi kuhatarisha afya zetu kama watumiaji. Hali hii inahitaji ufumbuzi wa haraka ili kuepusha magonjwa na matatizo mengine ya kiafya.