Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Wakuu,
Nishachoka kuja kulalamikia maji hapa, mnatufanya kama watoto tunapewa pipi tumun'unye halafu mnatupokonya. Yaani kama vile sasa hivi tupo kwenye mgao, na maji bado yana harufu mbaya, ukiwatafuta majibu ni yale yale, maji yameruhusiwa yatatoka!
Ahhh Wizara ya Maji embu pitia huko nyuma uone nna post ngapi za kulalamikia maji Mbezi Beach, mnatuona manyani sana, na cha kushangaza bili iko pale pale! Wakuu mkiona mtu kaandamana hadi ofisi za DAWASA Kawe mjue itakuwa mimi, nimechoka!
Nishachoka kuja kulalamikia maji hapa, mnatufanya kama watoto tunapewa pipi tumun'unye halafu mnatupokonya. Yaani kama vile sasa hivi tupo kwenye mgao, na maji bado yana harufu mbaya, ukiwatafuta majibu ni yale yale, maji yameruhusiwa yatatoka!
Ahhh Wizara ya Maji embu pitia huko nyuma uone nna post ngapi za kulalamikia maji Mbezi Beach, mnatuona manyani sana, na cha kushangaza bili iko pale pale! Wakuu mkiona mtu kaandamana hadi ofisi za DAWASA Kawe mjue itakuwa mimi, nimechoka!