Magufuli ameongoza kwa miaka 5, kina cha maji kiliogopa kushuka, five years Kiwango cha maji hakipungui, na maji mtaani mabomba yanavuja hovyo lakin watu wa napata maji
Tozo amekuja Samia maji yanapungua,Tozo zinapanda, wamachinga wanalionja joto
CCM na DAWASA hacha sarakasi za kuandaa watu kusaikologia ili muanze mambo yenu ya DOWANS
PENDEKEZO KWA DAWASA
Hacha uzembe wa kukaa ofisini nendeni mtaani mkazibe mabomba yote yanayomwaga maji
1. kwenye mitaro
2. Karibu na Nyumba za watu
3. Kwenye watu wanaomwagilia mboga mboga(Hawa wafungia mita)