mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Sijui hii mamlaka inakwama wapi, ni wiki ya nne sasa Tabata Bonyokwa hatuna maji. Hii imekuwa kero ya miaka na mikaka na bado hatujapewa ufumbuzi. Tulipangwa kuwa kinajengwa kituo cha kusukuma maji, kingekuwa tayari Aprili lakini leo hii tunaelekea Julai hakuna matumaini.
Kuna siku mabomba yanatoa upepo tu na bili inasoma, tukiwaambia kuwa mnatugawia upepo badala ya maji mnakuwa wakali, wapuuzi sana ninyi.
Leo mimi na familia tumeamka usiku wa manane kukinga maji ya mvua, si haki kabisa. Mbunge wetu Bonnah Kamori jirani yangu kabisa Bonyokwa hana habari kabisa na sisi maana kwake yamemnyookea.
Ishukuriwe sana mvua imetuokoa na kutusitiri kutoka kwenye mateso ya Serikali.
Pia soma
Kuna siku mabomba yanatoa upepo tu na bili inasoma, tukiwaambia kuwa mnatugawia upepo badala ya maji mnakuwa wakali, wapuuzi sana ninyi.
Leo mimi na familia tumeamka usiku wa manane kukinga maji ya mvua, si haki kabisa. Mbunge wetu Bonnah Kamori jirani yangu kabisa Bonyokwa hana habari kabisa na sisi maana kwake yamemnyookea.
Ishukuriwe sana mvua imetuokoa na kutusitiri kutoka kwenye mateso ya Serikali.
Pia soma
- DOKEZO - Tabata Bonyokwa hatujaona tone la maji wiki ya tano sasa, DAWASA mnatuona manyani?
- Dar: DAWASA imeanza kutekeleza kazi ya kufunga kifaa cha kusukuma maji kwenda Bonyokwa
- Tabata Bonyokwa hatujaona tone la maji wiki ya tano sasa, DAWASA mnatuona manyani?
- Waziri Aweso, Jiji la Dar Sasa wanakunywa na kuoga maji ya kwenye mifereji. DAWASA pakavu
- DAWASA kwanini mvua ni nyingi lakini tunakosa maji?
- Maji ya DAWASA yana harufu na ladha ya Dawa kali sana, ni salama kweli?
- Tabata Bonyokwa hatujaona tone la maji wiki ya tano sasa, DAWASA mnatuona manyani?
- DAWASA wanauza maji kwa njia ya magari Kinyerezi wakati Mabomba hayatoi maji