Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 964
- 2,675
Nashindwa kuelewa sijui hawa watenda kazi wa hii DAWASA kuanzia viongozi hadi watenda kazi wa chini mmeshindwa kabisa kupata njia mbadala ya kuondoa hizi changamoto za huduma ya maji jijini dar es salaam? Jiji lenye zaidi ya watu milioni 8 Ni aibu sana kuona huduma ya maji ikisuasua nyie maangineer huwa mnafanya nini huko maofisini?!
Yaani DAWASA mmeshindwa kabisa kutengeneza mifumo ya kuhifadhi maji itakayowawezesha wakazi wa Dar es salaam kutumia maji hayo walau hata mwaka mzima bila kusuasua?
Nashindwa kuwaelewa kabisa hawa DAWASA kipindi cha msimu wa mvua mnaacha maji yanapotea, then kipindi cha kiangazi mnatusumbua na mgao wa maji, mkiulizwa mnasema mpo katika matengenezo na bla bla kibao hivi mmeshindwa kuwa hata na matanki makubwa kwa ajili ya kuhifadhi akiba ya maji kutoka kwenye vyanzo mbalimbali kama vile maziwa, mito mvua, visima n.k?
Soma Pia: Waziri wa Maji ingilia kati DAWASA, hali ya maji Dar ni mbaya sana
Hivi ninyi mnaojiita sijui wakurugenzi huko DAWASA mkikaa huko ofisini mnawazaga nini na kila mwezi mnadai ankara za maji tukishindwa kulipa mnakata chap ila huduma zenu ni mbovu mno... Aahh
Yaani DAWASA mmeshindwa kabisa kutengeneza mifumo ya kuhifadhi maji itakayowawezesha wakazi wa Dar es salaam kutumia maji hayo walau hata mwaka mzima bila kusuasua?
Nashindwa kuwaelewa kabisa hawa DAWASA kipindi cha msimu wa mvua mnaacha maji yanapotea, then kipindi cha kiangazi mnatusumbua na mgao wa maji, mkiulizwa mnasema mpo katika matengenezo na bla bla kibao hivi mmeshindwa kuwa hata na matanki makubwa kwa ajili ya kuhifadhi akiba ya maji kutoka kwenye vyanzo mbalimbali kama vile maziwa, mito mvua, visima n.k?
Soma Pia: Waziri wa Maji ingilia kati DAWASA, hali ya maji Dar ni mbaya sana
Hivi ninyi mnaojiita sijui wakurugenzi huko DAWASA mkikaa huko ofisini mnawazaga nini na kila mwezi mnadai ankara za maji tukishindwa kulipa mnakata chap ila huduma zenu ni mbovu mno... Aahh