Nimechoka Sana
Member
- May 4, 2024
- 19
- 23
Kuna bomba lipo Kimara Korogwe, uelekeo wa Mji mpya karibu na daraja (Njia ya kuelekea Kam College) limepasuka siku ya 5 sasa.
Jitihada za wananchi kuliziba zimegonga mwamba kutokana na wingi wa maji yanayomwagika hivyo kufanya maji yaendelee kumwagika.
DAWASA njooni mfanye kazi yenu. Maji yanapotea bure.
Jitihada za wananchi kuliziba zimegonga mwamba kutokana na wingi wa maji yanayomwagika hivyo kufanya maji yaendelee kumwagika.
DAWASA njooni mfanye kazi yenu. Maji yanapotea bure.