DOKEZO DAWASA Temeke idara ya huduma kwa wateja mbovu sana

DOKEZO DAWASA Temeke idara ya huduma kwa wateja mbovu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

nashicha

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
279
Reaction score
524
Naomba nitangulize pongezi kwa Waziri wa maji Jumaa Aweso kwa kuwa site kila mahali stahiki japo anazidiwa na UCHAWA ZAIDI NA KUJIKOMBA MNO KWA MH RAIS KAMA VILI HAJIAMINI KWA NAFASI YAKE.

Pili naomba Engineer wa Dawasa Temeke au Meneja rekebisheni hao watoa huduma kwa wateja Hawana ethics za kazi zao LUGHA mbovu mameneja wao maengineer wao watu account wao hawapo tayari kuwahudumia watu kwa UPENDO FANYIA KAZI HIYO idara ya HUDUMA KWA WATEJA.
 
Naomba nitangulize pongezi kwa Waziri wa maji Jumaa Aweso kwa kuwa site kila mahali stahiki japo anazidiwa na UCHAWA ZAIDI NA KUJIKOMBA MNO KWA MH RAIS KAMA VILI HAJIAMINI KWA NAFASI YAKE.

Pili naomba Engineer wa Dawasa Temeke au Meneja rekebisheni hao watoa huduma kwa wateja Hawana ethics za kazi zao LUGHA mbovu mameneja wao maengineer wao watu account wao hawapo tayari kuwahudumia watu kwa UPENDO FANYIA KAZI HIYO idara ya HUDUMA KWA WATEJA.
Tatizo nini? Mimi mbona bill ikipitiliza wananipigia simu nawaomba wanipe muda wananielewa na nawalipa bill yao?

Wewe wamekuudhi nini?
 
Naomba nitangulize pongezi kwa Waziri wa maji Jumaa Aweso kwa kuwa site kila mahali stahiki japo anazidiwa na UCHAWA ZAIDI NA KUJIKOMBA MNO KWA MH RAIS KAMA VILI HAJIAMINI KWA NAFASI YAKE.

Pili naomba Engineer wa Dawasa Temeke au Meneja rekebisheni hao watoa huduma kwa wateja Hawana ethics za kazi zao LUGHA mbovu mameneja wao maengineer wao watu account wao hawapo tayari kuwahudumia watu kwa UPENDO FANYIA KAZI HIYO idara ya HUDUMA KWA WATEJA.
Mbona ni kote hata hii dawasco Tabata kituo Cha huduma kwa wateja ni bomu,nimepiga Simu zaidi ya Mara 20 tangu mwezi 5/2022 mita haisomi,wanawapa matapeli namba yangu ya simu then wanapiga Simu tutakuja kukubadilishia,ukiendelea kuwakumbushia kwenye namba iliyokupigia mwisho hawapokei,maana yake nini wanataka uwaahidi kuwapa rushwa ndiyo wake kukuhudumia.
 
Mbona ni kote hata hii dawasco Tabata kituo Cha huduma kwa wateja ni bomu,nimepiga Simu zaidi ya Mara 20 tangu mwezi 5/2022 mita haisomi,wanawapa matapeli namba yangu ya simu then wanapiga Simu tutakuja kukubadilishia,ukiendelea kuwakumbushia kwenye namba iliyokupigia mwisho hawapokei,maana yake nini wanataka uwaahidi kuwapa rushwa ndiyo wake kukuhudumia.
Hakuna Dawasco, kuna Dawasa
 
Tatizo nini? Mimi mbona bill ikipitiliza wananipigia simu nawaomba wanipe muda wananielewa na nawalipa bill yao?

Wewe wamekuudhi nini?
Kwenye kitengo cha huduma kwa wateja bomu Nina mita haifanyi Kazi tangu 05/2022 nimewapigia mpaka nimechoka wanakula mtu anakupigia unaendelea kuwasiliana naye mwisho hapokei Simu Tena inaonekana ni dili anahitaji umwahidi rushwa
 
Naomba nitangulize pongezi kwa Waziri wa maji Jumaa Aweso kwa kuwa site kila mahali stahiki japo anazidiwa na UCHAWA ZAIDI NA KUJIKOMBA MNO KWA MH RAIS KAMA VILI HAJIAMINI KWA NAFASI YAKE.

Pili naomba Engineer wa Dawasa Temeke au Meneja rekebisheni hao watoa huduma kwa wateja Hawana ethics za kazi zao LUGHA mbovu mameneja wao maengineer wao watu account wao hawapo tayari kuwahudumia watu kwa UPENDO FANYIA KAZI HIYO idara ya HUDUMA KWA WATEJA.

Mbona ni kote hata hii dawasco Tabata kituo Cha huduma kwa wateja ni bomu,nimepiga Simu zaidi ya Mara 20 tangu mwezi 5/2022 mita haisomi,wanawapa matapeli namba yangu ya simu then wanapiga Simu tutakuja kukubadilishia,ukiendelea kuwakumbushia kwenye namba iliyokupigia mwisho hawapokei,maana yake nini wanataka uwaahidi kuwapa rushwa ndiyo wake kukuhudumia.

Kwenye kitengo cha huduma kwa wateja bomu Nina mita haifanyi Kazi tangu 05/2022 nimewapigia mpaka nimechoka wanakula mtu anakupigia unaendelea kuwasiliana naye mwisho hapokei Simu Tena inaonekana ni dili anahitaji umwahidi rushwa
yani ww yamekukuta kama yangu, tangu mwezi wa7 mwaka jana haisomi, nmewafata fata weeh hawana majibu
wananibambikia bili za kutosha
sasa kuna hao wahuni unaosema wanakupa namba ukiwapigia ukawabananisha wanakwambia watakuja halafu hawapokei tena simu kwanzia hapo.. Yani ni uozo
 
Back
Top Bottom