Dawasa wajifunze kwa ndugu zao Wa - Tanesco..kwenye masuala ya huduma kwa wateja.TANESCO siku hizi inajitahidi sana, simu wanapokea.huku mijini kuna magroup ya watsap ya wateja..unaandika kitu watu wanajibu...inatia moyo kidogo.
SASA hawa ndugu zetu DAWASA hawa...wanafanyakazi kama halmashauri kabisa...Wanachojua wao ni kusoma mita na kutoa bili, lkn uwaite sijui bomba limepasuka sehemu, my friend..mpaka waje...si mchezo, uwataarifu uharibifu wa mita...mpaka waje..utasubiri sana n.k hawa watu wajifunze kwa Tanesco..ofisi nzima ziwe karibu na watu..