MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Dawasco ni shirika linalosambaza maji katika mkoa wa Dar es Salaam na Pwani. Dawasco hawana miundo mbinu ya kusambaza maji, wao mekodisha mitambo na miundo mbinu ya kusambaza maji toka kwa Dawasa na wanapelekewa ankra ya madai kila mwezi na Dawasa.
Ni kwanini serikali iliamua mambo yaende hivyo, je ni kwa sababu wananchi hawajui kulalamika na hawajui haki yao?
Ankra ya Dawasa kwa nini isitumike kuendeleza vyanzo vya upatikanaji wa maji?
Ni kwanini serikali iliamua mambo yaende hivyo, je ni kwa sababu wananchi hawajui kulalamika na hawajui haki yao?
Ankra ya Dawasa kwa nini isitumike kuendeleza vyanzo vya upatikanaji wa maji?