KERO DAWASCO maji wanatoa kwa siku mbili ndani ya wiki na bado imewashinda

KERO DAWASCO maji wanatoa kwa siku mbili ndani ya wiki na bado imewashinda

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Katika shirika linaloshangaza ni dawasco maji wanatoa siku moja au mbili kwa week lakin bado nako kumewashinda je wangetakiwa kutoa maji 24/7 kama wafanyavyo miji mingine

Napokaa hapa maji mara ya mwisho kutoka ni jumapili ile iliyopita sio hii ya juzi ukimuuliza engineer wa dawasco ni ahadi tu uongo meneja wa dawasco anakushauri ununue maji unajiuliza huyu anajua wajibu wake kweli

Tanzania huu ujinga sisi wananchi ndo tunaoulelea na hutakaa uishe tukiendelea kuwa makondoo inakera na kuuzi sana

Kuna msemo wa kingireza unasema, "The dangerous party of excuses is that alot of them make senses, at the same time it pave the way for mediocre"

Ndo wanachofanya dawasco hawakosi sababu ila wanaumiza wananchi
 
Ukame umeanza na maji yamepungua sana .....mvua zisiponyesha maji ya chumvi yanahusika
 
Ukame umeanza na maji yamepungua sana .....mvua zisiponyesha maji ya chumvi yanahusika
Kila mwaka stori ni hizi hizi inajulikana mwezi wa nane na wa tisa ni kiangazi lakin hawa watu hawajifunzi lolote tunasafari ndefu sana kama nchi
 
Back
Top Bottom