Nchi inavyo kwenda kwa sasa ni kama ngurue alie katwa kichwa alafu akaachwa atembee, yule bibi anajipitisha huko sijamsikia anaongelea huu mgao mkuu wa umeme Wala ukosefu wa maji ya uhakika, wanacho waza wao ni uchaguzi tuu, tumepigwa za kichwa nyingi sana safari hii🤦🤦