Dawasco rudisheni maji Mbweni JKT!

Dawasco rudisheni maji Mbweni JKT!

teri22

Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
12
Reaction score
12
Kwani what happened na Dawasco?

Maji huku Mbweni JKT hamna tangu last week. Ukipiga Customer Care, hio lugha ni ishara tosha kuwa huduma mbovu. Huyu dada wa customer care kasema tu atamwita Engineer na wala hakupi ticket namba na ameshakata simu.

Wakuu wa DAWASCO hebu tupieni jicho hizo huduma na watu wawajibishwe pale hawatoi msaada au huduma sahihi.
 
Mbezi ya Kimara maji wanafungua saa saba usiku wanafunga saa kumi usiku sasa huwa najiuliza hayo maji wanawafungulia wachawi au watu gani?

Mchana kutwa maji hamna usiku wa manane maji yapo hawa engineers sijui utaratibu wao wa kazi wameutoa wapi!!!
 
Back
Top Bottom