Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
DAWASCO wanakwamisha utekelezaji wa ilani kwa kutokusambaza maji kwa kila Kaya kabla ya 2025.
Pia, wanafurahia mgao wa maji, haiwezekani jiji la Dar es Salaam likose maji kwa siku7 mfululizo na CEO bado anachekelea kwenye V8, full kiyoyozi.
**** Na OPRAS anajaza kila Quarter.
NB: Enzi za Mwamba huyo boss angekua ashatumbulia akisubiri matokeo ya tume akiwa mtaani, kachakaa
Pia, wanafurahia mgao wa maji, haiwezekani jiji la Dar es Salaam likose maji kwa siku7 mfululizo na CEO bado anachekelea kwenye V8, full kiyoyozi.
**** Na OPRAS anajaza kila Quarter.
NB: Enzi za Mwamba huyo boss angekua ashatumbulia akisubiri matokeo ya tume akiwa mtaani, kachakaa