Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Acha kujitoa ufahamRaisi wa nchi kikwete ametulia zake msoga anapiga hela Tu....
Mambo mengine ya kitaalamu hayahiyaji siasa bossDAWASCO wanakwamisha utekelezaji wa ilani kwa kutokusambaza maji kwa kila Kaya kabla ya 2025. Pia, wanafurahia mgao wa maji, haiwezekani jiji la Dar es Salaam likose maji kwa siku7 mfululizo na CEO bado anachekelea kwenye V8, full kiyoyozi. Na OPRAS anajaza kila Quarter
Tuna Imani kubwa na Mbunge Mhe. ProfessorJuzi kati kulikua na shamra shamra za mbunge wa ubungo kupokea mipira ya kusambaza maji,dawasa fasta wakaanza kuyatandaza,ila sasa wiki ya 3 wamenyuti kuchimba yan ilikua amsha amsha ya kuwapoza raia tu
Muje tuwauzie pafyumu jamaniBoss anafurahia madhila ya wazalendo. Watu wanaamka asubuhi vikwapa vinanuka
Mtu kama huyu akitumbuliwa inaonekana raisi mkatili! Haikubaliki week nzima watu wakose huduma muhimu ya maji!DAWASCO wanakwamisha utekelezaji wa ilani kwa kutokusambaza maji kwa kila Kaya kabla ya 2025.
Pia, wanafurahia mgao wa maji, haiwezekani jiji la Dar es Salaam likose maji kwa siku7 mfululizo na CEO bado anachekelea kwenye V8, full kiyoyozi.
**** Na OPRAS anajaza kila Quarter.
NB: Enzi za Mwamba huyo boss angekua ashatumbulia akisubiri matokeo ya tume akiwa mtaani, kachakaa
Bei gani?Muje tuwauzie pafyumu jamani
25k kwa 35k products za South Africa nzuri sanaBei gani?
South Africa wapi naweza kupata perfume Bei poa? Nije kuwalangua mademu huko Bongo25k kwa 35k products za South Africa nzuri sana
Balaa tupuRaisi wa nchi kikwete ametulia zake msoga anapiga hela Tu....