Dawasco

PSM

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
542
Reaction score
126
Hbr wa na jamii ,Nina omba Kama kuna mtu anaejua sababu ya maji kutokutoka maeneo mengi ya kinondoni kwa wiki 3 sasa anieleze ili Nijue tu,au ni Yale madai Kuwa wanafanya hivyo hawa Dawasco ili Wauze maji ya visima vyao,ni kero kwakweli maana bili zinakuja za juu kuzidi hata zile za Wakati maji yapo.Jamani inchi Hii Ndio mashirika yote ya aelekea ukingoni hivi hivi?Dawa Yao Hawa wangepate washindani ili watu tupate Uhuru wa watu kampuni ipi ukapate huduma ya maji maana sahiz hata ulkilalamika hamna msaada maana lazima Utachukua huduma kwao tu,inaniumiza sana tu.
 
Hata mimi ninapata wakati mgumu sana kuwaelewa hawa jamaa...halafu wamekaa kimya kabisa ..hakuna taarifa yeyote kuhusu hili...sasa nashindwa kuelewa haya matatizo ni mpaka lini!!!! Jamani DAWASCO semeni chochote basi!Nachukia sana ninapowaona mpo ndani ya magari yenu mnarandaranda wakati hatuna maji....ipo siku itawalipukia!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…