PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Dazbaba au daz mwalimu, huyu msanii alifanya poa sana miaka ya nyuma kidogo akiwa na kundi la Daz Nundaz vilevile alifanikiwa kufanya kazi zake mwenyewe zilizo fanya poa sana kwenye media tofauti na kuangusha albamu yake ya ELIMU DUNIA iliyofanya poa sana sokoni iliyokuwa na nyimbo kama Nipe tano, wife, mrembo namba 8 na ngoma zingine ambazo pia zilifanya poa sana.
Kwa kipindi cha mda mrefu sasa yuko kimya sana huyu jamaa lakini kazi zake kiukweli huwa hazichoshi kuzisikiliza ngoja tusubiri labda anaweza kurudi tena kwenye game tuka pata ngoma kali kama zamani kutoka kwake!
Kwa kipindi cha mda mrefu sasa yuko kimya sana huyu jamaa lakini kazi zake kiukweli huwa hazichoshi kuzisikiliza ngoja tusubiri labda anaweza kurudi tena kwenye game tuka pata ngoma kali kama zamani kutoka kwake!