Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa busy na mwanae style....kakua sasaHivi nura the baba stayle yuko wapi siku izi
Upo bongo mambo ya Naija huyajui kiundani kama haya ya bongo.Aisee wadau wa bongo fleva wabadikike wawalipe hawa jamaa vizuri mbona naija haya mambo hamna, mana tunapoangalia Africa music industry kwa sasa ni bongo na naija ndo ime saturate kwa sana!!
Ndoaaaa zinasaidiaaaaa mpakaaa 2017 ujaoaa ujaolewa siboraa uendde facebook ukajibu hatamsg za kupendwa
Umaarufu ni sawa na harufu tu,hupita kwa kasi sana na kusahaulika!maisha yanaenda kasi sana yaani leo hii daz b kasahaulika hivi
kweli kila zama na kitabu chake