DC Arumeru anamtumia Mshili Mkuu wa Wameru kuidharaulisha mila kwa kuihusisha na siasa

DC Arumeru anamtumia Mshili Mkuu wa Wameru kuidharaulisha mila kwa kuihusisha na siasa

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Leo 17 October 2020 kimekaa kikao cha washili wa koo zote Meru kilichoitishwa na Mshili Mkuu wa Wameru, Ezron.

Mualiko huo ulikuwa ni kukutana katika eneo maarufu la Mringaringa.

Cha ajabu mada zilizo kuwa zina jadiliwa ni kinyume kabisa na mila na desturi za wa Meru.

Mada kuu ilikuwa ni washili wote wakampokee Dkt. Magufuli kwa masale pia wamuombe msamaha eti Wameru awakumchagua 2015.

Baadhi ya Washili wamesikitika sana kwa kulazimishwa mambo ambayo ni kinyume na mila na desturi.

Mkuu wa Wilaya anamtumia Mshili Mkuu kufanya mambo ya ajabu sana. Anaua mila; mila inadharaulika; mila haina thamani; mila sasa imekuwa kuiabidu CCM.

Ezron umefanya mila za Kimeru ziwe za wahuni badala ya wazawa mila ilikuwa ni kusimamia haki, sio kupamba chama.

Wameru tunasema hizo elfu 10 na masale mtakayobeba, sio kwa ajili ya wana Meru, ni kwa ajili ya matumbo yenu.
 
Leo 17 October 2020 kimekaa kikao cha washili wa koo zote Meru kilichoitishwa na Mshili Mkuu wa Wameru, Ezron.

Mualiko huo ulikuwa ni kukutana katika eneo maarufu la Mringaringa.

Cha ajabu mada zilizo kuwa zina jadiliwa ni kinyume kabisa na mila na desturi za wa Meru.

Mada kuu ilikuwa ni washili wote wakampokee Dkt. Magufuli kwa masale pia wamuombe msamaha eti Wameru awakumchagua 2015.

Baadhi ya Washili wamesikitika sana kwa kulazimishwa mambo ambayo ni kinyume na mila na desturi.

Mkuu wa Wilaya anamtumia Mshili Mkuu kufanya mambo ya ajabu sana. Anaua mila; mila inadharaulika; mila haina thamani; mila sasa imekuwa kuiabidu CCM.

Ezron umefanya mila za Kimeru ziwe za wahuni badala ya wazawa mila ilikuwa ni kusimamia haki, sio kupamba chama.

Wameru tunasema hizo elfu 10 na masale mtakayobeba, sio kwa ajili ya wana Meru, ni kwa ajili ya matumbo yenu.
haya ni malalamiko,kilio au mashitaka?
 
Watanzania Milioni27 wanamiliki simu za Smart phones na huo ndio ukweli
kwa hiyo wote wanakufollow wewe?na hizo takwimu za kumiliki smart phone umezipika wapi
JF ina memebers wasiozidi laki 6 tu,na hapo kuna akina nyie mna id za ya 60 ili kuipaisha hoja zenu mfu
 
Leo 17 October 2020 kimekaa kikao cha washili wa koo zote Meru kilichoitishwa na Mshili Mkuu wa Wameru, Ezron.

Mualiko huo ulikuwa ni kukutana katika eneo maarufu la Mringaringa.

Cha ajabu mada zilizo kuwa zina jadiliwa ni kinyume kabisa na mila na desturi za wa Meru.

Mada kuu ilikuwa ni washili wote wakampokee Dkt. Magufuli kwa masale pia wamuombe msamaha eti Wameru awakumchagua 2015.

Baadhi ya Washili wamesikitika sana kwa kulazimishwa mambo ambayo ni kinyume na mila na desturi.

Mkuu wa Wilaya anamtumia Mshili Mkuu kufanya mambo ya ajabu sana. Anaua mila; mila inadharaulika; mila haina thamani; mila sasa imekuwa kuiabidu CCM.

Ezron umefanya mila za Kimeru ziwe za wahuni badala ya wazawa mila ilikuwa ni kusimamia haki, sio kupamba chama.

Wameru tunasema hizo elfu 10 na masale mtakayobeba, sio kwa ajili ya wana Meru, ni kwa ajili ya matumbo yenu.
Taarifa yako inakinzana.

Unasema wanaenda kuomba radhi kwa kutokumchagua Magufuli 2015. Hii maana yake 2015 walikubaliana wamchagua mgombea mwingine. Kwahiyo hakuna ubaya kama 2020 wameamua kwenda na Magufuli.

Hakuna mila iliyovunjwa hapo. Wanafanya kilekile walichofanya 2015 ambacho ulikiona sahihi.
 
kwa hiyo wote wanakufollow wewe?na hizo takwimu za kumiliki smart phone umezipika wapi
JF ina memebers wasiozidi laki 6 tu,na hapo kuna akina nyie mna id za ya 60 ili kuipaisha hoja zenu mfu
Ngojeni tuwanyooshe tarehe 28 ndio mtajua tunamaanisha nini
Safari hii mkiiba kura tumeandaa matairi na Petroli
 
Ngojeni tuwanyooshe tarehe 28 ndio mtajua tunamaanisha nini
Safari hii mkiiba kura tumeandaa matairi na Petroli
hayo maneno ya kwenye keyboard tu,kwani na sisi tutakua tumelala?
 
Watu wanajua kujikomba bwana, hapo DC anajaribu kupalilia kibarua chake na hata kupanda zaidi ikiwa mbeleko ya NECCM itambaba mgombea wao. Watu wana hesabu kali sana, hao wachili wanatumika kama ngazi tu.
 
Aisee mbona mnalialia tulieni dawa iingie.

October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Taarifa yako inakinzana.

Unasema wanaenda kuomba radhi kwa kutokumchagua Magufuli 2015. Hii maana yake 2015 walikubaliana wamchagua mgombea mwingine. Kwahiyo hakuna ubaya kama 2020 wameamua kwenda na Magufuli.

Hakuna mila iliyovunjwa hapo. Wanafanya kilekile walichofanya 2015 ambacho ulikiona sahihi.
intellegent response.
 
Back
Top Bottom