DC Gondwe: Tunajenga Flyover tatu Chang'ombe mataa, Uhasibu mataa na Buza. Hakuna kama CCM lazima tukubali!

DC Gondwe: Tunajenga Flyover tatu Chang'ombe mataa, Uhasibu mataa na Buza. Hakuna kama CCM lazima tukubali!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkuu wa wilaya ya Temeke Godwin Gondwe amesema serikali itajenga flyover huko Buza ili kupunguza msongamano wa magari na kurahisisha usafiri.
Amesema hiyo itakuwa ni flyover ya tatu wilayani humo nyingine zikiwa ni za Chang'ombe mataa na Uhasibu mataa.

Gondwe amesisitiza kuwa hakuna chama makini kama CCM katika kutatua kero za wananchi na kuwatumikia.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Potelea pote hatuna maji wala vyumba vya madarasa ya kufundishia historia lakini Buza kumenogaah! 😂 😂

Everyday is Saturday................................😎
 
Hapo anaposema hakuna kama ccm, angesema tu hakuna kama walipa kodi.
Eti Gondwe anasema hakina Kama CCM kweli?
Amuulize Nkamia kilichomkuta licha ya kushinda akiabudu na kilamba miguu.
 
Inaonyesha pia wanajua kusimamia matumizi sahihi ya kodi, Serikali isiyo makini ingeweza kutapanya au kupeleka kwenye matumizi yasiyo na mabadiliko chanya

Inaonyesha pia wanajua kusimamia matumizi sahihi ya kodi, Serikali isiyo makini ingeweza kutapanya au kupeleka kwenye matumizi yasiyo na mabadiliko chanya.
Ko umeona ndo kipaumbele kikubwa kwa Wilaya ya Temeke?Mataga bhana😀
 
Tangu mwaka 1961 Hadi leo Flying over tatu temeke.unanichekesha kweli kweli.
 
Kwa hali hiyo sisi Wafanyakazi ndiyo basi tena! Mpaka Mobutu Seseseko atoke madarakani![emoji56]

Kwa sasa flyovers, bombardier na Ma V8 ndiyo yanakula tu maisha!!
kweli mkuu,wafanyakazi wamesahaulika Sana ,sijajua kwa nn wamesahaulika namna hii.mpaka sio vizuri kabisaaaa.
 
Back
Top Bottom