Mkuu wa Wilaya ya Handeni Siriel Mchembe amelazimika kupiga marufuku Wanandoa wa Wilaya hiyo kuacha kusoma msg kwenye simu za wenzao ili kuepusha migogoro na vifo vitokanavyo na wivu wa kimapenzi, ameyasema haya kwenye maziko ya Kijana wa miaka 35 aliyeuwawa kwa kukatwa mapanga na kuchomwa visu kutokana na wivu wa mapenzi.
Wazazi wa Kijana huyu wamesema Mtoto wao ni kweli alishawahi kufumaniwa na Mwanamke wa Mtu lakini baadae alimlipa Mume wa Mwanamke huyo shilingi laki sita ili asamehe tukio hilo lakini sasa imewashangaza Mtoto wao kuuwawa kinyama.
Mama mzazi wa Marehemu amesema Mwanamke huyo alimwambia Mtoto wake kuwa hana Mume na hata baada ya kufumaniwa Mwanamke huyo aliendelea kumfatafata Marehemu
"Nilimwambia sikutaki wewe Mtoto lakini bado anakuja, anamletea Mwanangu majanga, naomba Serikali inisaidie waliomuua Mwanangu" βββ amesema Mama wa Marehemu.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Siriel Mchembe amelazimika kupiga marufuku Wanandoa wa Wilaya hiyo kuacha kusoma msg kwenye simu za wenzao ili kuepusha migogoro na vifo vitokanavyo na wivu wa kimapenzi, ameyasema haya kwenye maziko ya Kijana wa miaka 35 aliyeuwawa kwa kukatwa
Ni kweli. Lakini ametimiza kauli tu mana ni ngumu kujuwa kama agizo linatekelezwa. Haya yote hutoa kwa wivu wa kupitiliza. Moyo hauwezi kuuma kama hujasikia au hujaona. Nakumbuka katazo la waume kutonyonya maziwa ya wake zao ngumu. Mana huwezi kuingilia faragha zao.
Tukiwaambia wadau humu waache wake za watu,, wanatuona kama sisi kwaya masters..... Wanaendelea kuimba nje ya sauti..
Huu ujinga unaoitwa Mapenzi una ushetani ndani yake,, na kijana ukiendekeza kibolodinda hakika yatakuua....
Kiukweli papuchi zilizo free ni nyingi,, Yanini ukaweke foleni kwenye papuchi ya mwenzako???,, kwanini tunategeana??? hizi zilizobaki azichakate nani..???
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Siriel Mchembe amelazimika kupiga marufuku Wanandoa wa Wilaya hiyo kuacha kusoma msg kwenye simu za wenzao ili kuepusha migogoro na vifo vitokanavyo na wivu wa kimapenzi, ameyasema haya kwenye maziko ya Kijana wa miaka 35 aliyeuwawa kwa kukatwa mapanga na kuchomwa visu kutokana na wivu wa mapenzi.
Wazazi wa Kijana huyu wamesema Mtoto wao ni kweli alishawahi kufumaniwa na Mwanamke wa Mtu lakini baadae alimlipa Mume wa Mwanamke huyo shilingi laki sita ili asamehe tukio hilo lakini sasa imewashangaza Mtoto wao kuuwawa kinyama.
Mama mzazi wa Marehemu amesema Mwanamke huyo alimwambia Mtoto wake kuwa hana Mume na hata baada ya kufumaniwa Mwanamke huyo aliendelea kumfatafata Marehemu "Nilimwambia sikutaki wewe Mtoto lakini bado anakuja, anamletea Mwanangu majanga, naomba Serikali inisaidie waliomuua Mwanangu" βββ amesema Mama wa Marehemu.
Tukiwaambia wadau humu waache wake za watu,, wanatuona kama sisi kwaya masters..... Wanaendelea kuimba nje ya sauti..
Huu ujinga unaoitwa Mapenzi una ushetani ndani yake,, na kijana ukiendekeza kibolodinda hakika yatakuua....
Kiukweli papuchi zilizo free ni nyingi,, Yanini ukaweke foleni kwenye papuchi ya mwenzako???,, kwanini tunategeana??? hizi zilizobaki azichakate nani..???
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Siriel Mchembe amelazimika kupiga marufuku Wanandoa wa Wilaya hiyo kuacha kusoma msg kwenye simu za wenzao ili kuepusha migogoro na vifo vitokanavyo na wivu wa kimapenzi, ameyasema haya kwenye maziko ya Kijana wa miaka 35 aliyeuwawa kwa kukatwa mapanga na kuchomwa visu kutokana na wivu wa mapenzi.
Wazazi wa Kijana huyu wamesema Mtoto wao ni kweli alishawahi kufumaniwa na Mwanamke wa Mtu lakini baadae alimlipa Mume wa Mwanamke huyo shilingi laki sita ili asamehe tukio hilo lakini sasa imewashangaza Mtoto wao kuuwawa kinyama.
Mama mzazi wa Marehemu amesema Mwanamke huyo alimwambia Mtoto wake kuwa hana Mume na hata baada ya kufumaniwa Mwanamke huyo aliendelea kumfatafata Marehemu
"Nilimwambia sikutaki wewe Mtoto lakini bado anakuja, anamletea Mwanangu majanga, naomba Serikali inisaidie waliomuua Mwanangu" βββ amesema Mama wa Marehemu.